RAIS JAKAYA KIKWETE AWAAPISHA WENYEVITI NA WAJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA MPYA IKULU LEO.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Jaji
Joseph Sinde Warioba, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya mchakato wa kutafuta
maoni ya Katiba Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja
vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Said
Elmaamri, kuwa Mjumbe wa Tume ya mchakato wa kutafuta maoni ya Katiba
Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu jijini
Dar es Salaam leo
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo katika Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Jaji
Agustini Ramadhan, kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya mchakato wa
kutafuta maoni ya Katiba Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye
Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.
Jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, wakiwapongeza wajumbe wa Tume hiyo baada ya
kuapishwa rasmi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam leo.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Jaji
Salim Ahmed Salim, kuwa Mjumbe wa Tume ya mchakato wa kutafuta maoni ya
Katiba Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu
jijini Dar es Salaam leo.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Mbunge
wa Viti Maalum, Al-shymaa Kwegiyr, kuwa Mjumbe wa Tume ya mchakato wa
kutafuta maoni ya Katiba Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye
Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Said
Elmaamri, kuwa Mjumbe wa Tume ya mchakato wa kutafuta maoni ya Katiba
Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu jijini
Dar es Salaam leo.
Jakaya Kikwete, akimuapisha Said
Elmaamri, kuwa Mjumbe wa Tume ya mchakato wa kutafuta maoni ya Katiba
Mpya, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu jijini
Dar es Salaam leo. Habari na kajunaBlog
No comments:
Post a Comment