WASANII KUJINYAKULIA TUZO KATIKA KILIMANJARO MUSIC AWARDS.


Waendeshaji wa hafla ya utoaji wa tuzo za Muziki Tanzania walikuwa ni Milard Ayoo na Vanessa Mdee.
Mshindi wa tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk Rhumba,Ali Kibaa akikabidhiwa tuzo yake na Mwanadada Dina Marios wa Clouds Fm na Mkongwe Rainfred Masako wa ITV.
Mshindi wa tuzo ya Dancehall,Quen Darlin akiifurahia tuzo yake mara baada ya kukabidhiwa usiku huu.
Ali Kiba akitoa shukrani baada ya kupata tuzo.

Muwakilishi wa kundi la Arusha Gold akipokea tuzo ya Wimbo bora wa Ragga,kutoka kwa mwanadada Khadija Mwanamboka.
Burudani kutoka kwa vijawa T.H.T
Mkongwe katika Tasnia ya Muziki wa Taarab nchini,Bi. Shakira akiimba moja ya nyimbo zake alizowahi kuziimba kipindi cha nyuma.
Amin,Chaz Baba na Barnaba wakitumbuiza
Rachel akionyesha kizunguzungu chake.
Dayna akifanya vitu vyake.
Ali Kiba na Dada yake
Milard Ayoo na Vanessa Mdee.
Ommy Dimpoz,Diamond na Khaled Chokoraa wakitumbuza moja ya nyimbo za Msondo ngoma.
Babu Tale akitoa shukrani kwa niaba ya Suma Lee.


Roma Mkatoliki akiwashukuru mashabiki wake waliomfanya apate tuzo ya mwanahip hop bora.
Mzungu akiimba moja ya nyimbo za Lady Jay Dee.

Mzee Majuto na Sharobaro.
Ommy Dimpoz akipokea tuzo yake toka kwa Mzee Majuto na Sharobaro

Bi Shakira.
Bendi.
A.T a.k.a Mzee wa Kifuu Pembe akishukuru mashabiki wake.

Isha Mashauzi baada ya kupata tuzo yake sasa  ni shukrani.
Mzee Hamza Kalala na Da' Shamim Mwasha wakikabidhi tuzo ya Wimbo bora wa Bendi kwa kiongozi wa bendi ya Twanga pepeta,Luiza Mbutu.

Khadija Kopa.
Roma Mkatoliki akiwa na wakongwe akipewa tuzo ya msanii bora wa hip hop.
Kitokololo ndie rapa bora wa bendi.



TUZO  ZILIZOTOLEWA
1. WIMBO BORA WA RAGGAE.
-ARUSHA GOLD BY WARRIORS FROM EAST.

2. WIMBO BORA WA DANCE HALL.
- MANENO MANENO BY QUEEN DARLIN.

3. WIMBO BORA WA ZOUK RHUMBA.
- DUSHELELE BY ALI KIBA.

4.WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA KIASILI.
- VIFUU UTUNDU BY A.T-

5. WIMBO BORA WA TAARABU.
- NANI KAMA MAMA BY MASHAUZI CLASSIC ( AISHA MASHAUZI).

6. WIMBO BORA WA KISWAHILI.
- DUNIA DARAJA BY TWANGA PEPETA-

7. WIMBO BORA WA AFRO POP.
- HAKUNAGA BY SUMA LEE-

8. WIMBO BORA WA R&B.
- NUMBER ONE FAN BY BEN PAUL-

9. WIMBO BORA WA HIP HOP.
- MATHEMATICS BY ROMA-

10. MSANII BORA ANAECHIPUKIA.
- OMMY DIMPOZ .

11. RAPA BORA WA BAND.
- KALIJO KITOKOLOLO-

12. MSANII BORA WA HIP HOP.
- ROMA MKATOLIKI-

13. WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHWA.
 - NAI NAI BY OMMY DIMPOZ FT. ALI KIBA-

14. WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI.
-KIGEUGEU BY JAGUAR-

15. MTUMBWIZAJI BORA WA KIKE.
- KHADIJA KOPA-

17. MTUNZI BORA WA MWAKA.
    - DIAMOND-

16. MTUMBWIZAJI BORA WA KIUME
- DIAMOND-

18. MTAYARISHAJI BORA WA MAPIGO YA MUZIKI.
- MANEKE-

19. VIDEO BORA YA MWAKA.
- MAWAZO BY DIAMOND-

20. WIMBO BORA WA MWAKA.
- HAKUNAGA BY SUMA LEE-

21. HALL OF FAME.
     -  TAASISI JKT-

22. HALL OF FAME KWA MTU BINAFSI.
      - KING KIKII-

23. HALL OF FAME KWA MTU BINAFSI.
     - DR. REMMY ONGALA-

24. MWIMBAJI BORA WA KIKE.
     - LADY JAY DEE-

25. MWIMBAJI BORA WA KIUME.
      - BARNABA-

No comments:

Post a Comment