Kutoka kulia ni Mdau JAMALI akiwa na mkali wa hapa Mjini SUDI wa TOP IN TOWN akionekana vizuri katika picha inayofuata.
Akijulikana kwajina la KIBAKULI ni mdau ABDU wa Uswazi.
Kama ilivyo ada Mdau huyu Alipata majina mengi kulingana na mambo alonayo.ukipenda waweza kumuita CHALII.CHANAGAA.CHAMAPACHA.
Ukisema M-pesa Bukoba Bila kumtaja Mkali huyu utakuwa unakosea kabisa.YUSUF wa Vodacom.
Akiwa bega kwa Bega Mrembo huyu hataki kuiangusha kazi hii akifahamika kwa jina la SIIMA ukipenda jina waweza kuita SHUKURU,
Mzee wa Nje Nje Mkali si kwa pesa SHAIDU
Bila kumsahau Anasi wa USWAZ
No comments:
Post a Comment