KUTOKA LEADERS CLUB KWENYE MAZISHI YA STEVEN KANUMBA.
Wanakwaya wakiimba
sehemu ambayo mwili wa marehemu Kanumba unatarajiwa kuwekwa
watoto waliokuwa wakicheza movie na marehemu Kanumba enzi ya uhai wake
Mama yake Kanumba akiingia uwanjani.
Hemed na Yusuph Mlela wakiingia
Watu wazidi kuzimia kila muda unavyopita |
Makamu wa rais Dk. Mohamed Ghalib Bilali akitoa heshima za mwisho
Mke wa rais Mama Salma Kikwete nae katika kushuhudia mwili
Kamanda wa polisi akitoa akitoa heshima za mwisho |
Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya akitoa heshima zake za mwisho kwenye mwili wa marehem.
Watu waliojitokeza kuaga mwili wa Marehem Kanumba ni Wengi sana |
Steji iliyoandaliwa kwa ajili ya Kushuhudia Maiti. |
Watu wakizidi kumiminika huku wakisubiri Mwili kufika. |
Kinachosubiriwa
kwa sasa ni mwili wa marehemu kuwasili eneo hili la Leaders Club.\
No comments:
Post a Comment