WENGER v/s MANCINE
KOCHA WA MANCHESTER CITY ROBERT
MANCINE AMEVIELEZA VYOMBO VYA HABARI KUWA MECHI YAKE DHIDI YA ARSENAL NI YA
MUHIMU SANA KUTOKANA NAKUWA NYUMA YA POINT TANO [5] DHIDI YA ANAYEONGOZA LIGI HIYO,
HIVYO ATAKAPO POTEZA MECHI HIYO ITAMUWEKA KATIKA NAFASI MBAYA DHIDI MPINZANI WAKE
MANCHESTER UNITED KWA KUENDELEZA MCHAKATO WA KUONGOZA LIGI
HIYO,
NAE KOCHA WA THE GUNNERS ARSENAL WENGER
AMETAMKA KUWA MECHI HIYO NI MUHIM SANA KWAKE ANAHITAJI POINT 3 ILI
KUONDOA TOFAUTI DHIDI YAKE NA TOTTENHAM HOTSPURS INAYOSHIKA NAFASI YA
NNE KATIKA MSIMAMO WA LIGI HIYO.
HIVYO MECHI HIYO INATEGEMEWA KUWA NA UPINZANI UKIZINGATIA WACHEZAJI WAKE WAKO POA SANA.
MSIMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND
1 | Manchester United | 31 | 76 |
2 | Manchester City | 31 | 71 |
3 | Arsenal | 31 | 58 |
4 | Tottenham Hotspur | 31 | 58 |
5 | Newcastle United | 32 | 56 |
6 | Chelsea | 31 | 53 |
7 | Everton | 31 | 43 |
8 | Liverpool | 31 | 42 |
9 | Sunderland | 31 | 41 |
10 | Fulham | 31 | 39 |
11 | Swansea City | 32 | 39 |
12 | Norwich City | 31 | 39 |
13 | Stoke City | 31 | 38 |
14 | West Bromwich Albion | 31 | 36 |
15 | Aston Villa | 30 | 33 |
16 | Bolton Wanderers | 30 | 29 |
17 | Queens Park Rangers | 31 | 28 |
18 | Blackburn Rovers | 31 | 28 |
19 | Wigan Athletic | 31 | 28 |
20 | Wolverhampton Wanderers | 31 | 22 |
No comments:
Post a Comment